MKAZI WA MWANZA ALAMBA MILIONI 40 ZA TATUMZUKA - HabariMagic

Breaking

Kerajaan

BANNER 728X90

Monday, January 29, 2018

MKAZI WA MWANZA ALAMBA MILIONI 40 ZA TATUMZUKA

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Khadija Nyembo akimkabidhi mfano wa hundi mkazi wa Buswelu, Ilemela jijini Mwanza, Gibson Gratian Erasms,aliyejishindia kitita cha shilingi milioni 40 kwenye mchezo wa kubahatisha wa TatuMzuka uliofanyika jumapili iliyopita (Jackpot ya Jumapili).
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Ilemela,Khadija Nyembo akiwa katika picha ya pamoja na Mkazi wa Buswelu, Ilemela jijini Mwanza, Gibson Gratian Erasms, aliyejishindia kitita cha shilingi milioni 40 kwenye mchezo wa kubahatisha wa TatuMzuka uliofanyika jumapili iliyopita (Jackpot ya Jumapili), sambamba na baadhi ya viongozi wa Ofisi ya Wilaya na pamoja na ndugu wa mshindi huyo.

No comments:

Post a Comment